Mrithi wa Ten Hag aibukia Leeds LONDON, ENGLAND. KOCHA wa zamani wa Ajax, Alfred Schreuder huenda akateuliwa kuwa kocha mkuu wa Leeds United kwa mujibu wa taarifa. Schreuder atachukua mikoba ya Jesse Marsch aliyefukuzwa...
Mapinduzi Cup, ile vita imerudi Mwanaspoti linakuainishia rekodi za michuano hiyo ambayo awali ilishirikisha timu za visiwani miaka ya 2000 kabla ya kubadilishwa 2007 na kuchezwa katika mfumo wa sasa, japo ule utamaduni wa...
Usajili Ligi Kuu England wameingia, wametoka walioingia na kutoka klabu za Ligi Kuu England. Arsenal Wameingia: Marquinhos (Sao Paulo, Pauni 3milioni), Fabio Vieira (FC Porto, Pauni 34milioni), Matt Turner (New England Revolution, Pauni...
Sura mpya kikosi Yanga, inaweza kuwa na vikosi viwili vyenye uwepo wa Aziz Ki hicyo, mchambuzi wa masuala ya michezo nchini, Oscar Oscar alisema Ki ni moja kati ya vijaambao umri wake na uwezo ni faida kwenye timu, ingawa ameitaka Yanga isiweke matumaini ya kwamba atafika...
Masau Bwire: Simu 9, Magrupu 286 ya WhatsApp mkuu wa zamani, Saad Kawemba alimfuata mwenyewe nako aliwagomea. ‘’Huyo mwandishi walidhani niko karibu naye, alinipigia simu na kuniambia unatakiwa kusema ndio ili leoleo utangazwe kuwa msemaji...
Mtukutu, Jeuri ila utampenda japo kimoyo moyo DUNIA imepata kushuhudia wanandinga watukutu, wakorofi na watata kwelikweli. Ila pamoja na yote hayo Wazaramo wanao msemo usemao ‘mkono kuunyera mwana kuhudaa kuukana.’ Ikiwa na maana mkono...
Uhuni wa mashabiki tatizo ni maofisa habari wa klabu SOKA ni burudani. Soka ni furaha, amani na upendo. Soka na michezo kwa ujumla hujenga urafiki na kuleta suluhu ndani ya jamii.
KWAKO JESSE JOHN: Tuanze na nyasi bandia ndipo VAR ifuate NIANZE kwa kumpongeza Ally Mayay kwa ushauri wake wa kuwakumbusha watangazaji na waandishi wanaowapachika majina ya utani wachezaji, kutoa majina yenye manufaa yanayoakisi uhalisia wa mchezaji na...
Uofisa habari wa timu si mipasho, vijembe KIATIKA nchi zilizoendelea Kitengo cha Habari na Mawasiliano katika klabu huambatanishwa na Idara ya Masoko.
KWAKO JESSE JOHN: Mapinduzi ilikuwa michuano ya heshima MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2022 iliyokuwa ikipigwa visiwani Zanzibar kwa siku 10 imefikia tamati juzi usiku kwa mechi ya fainali kati ya Azam FC na Simba, Wekundu wa Msimbazi wakifanikiwa...